Breaking News

Your Ad Spot

Feb 24, 2010

TASWIRA KATIKA JAMII

HILI ni tangazo katika daladala linalofanya kazi kati ya Muhimbili na Buguruni jijini Dar es Salaam, lisome vizuri mdau halafu toa msaada tujue nini maana hasa ya tangazo hilo
Kijana akiwa amelala chini ya mti leo mchana karibu na jengo la Maktaba Dar es Salaam. Swali lakujiuliza ni je nini hatma ya mtu huyu katika taifa?
FUNDI cherehena akilazimika kupunga usingizi kidooogo katika eneo lake la kazi lililopo maeneo ya Kisutu Dar es Salaam, leo. Jea hali hii ni kutokana na uchovu wa kazi au uhaba wa wateja?

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages