Breaking News

Your Ad Spot

Mar 1, 2010

MPAMBANO BI KIDUDE NA BABU AYUBU

MALIKIA wa taarab Bi. Kidude Baraka akitumbuiza usiku huu katika hoteli ya Travertine, Magomeni Mapipa, jijini Dar katika onesho kabambe akishirikiana na Jahazi Modern Taarab, Mwanahawa Ally na Babu Ayubu. Bi. Kidude ambaye yupo Dar kwa vekesheni fupi alikonga nyoyo za mamia ya mashabiki waliofurika ukumbini kwa kibao chake kisichochuja cha 'muhogo wa Jang'ombe'.Kiongozi wa Jahazi Modern Taarab, Mzee Yussuf akimtambulisha  Bi Kidude jukwaaniBabu Ayubu akifanya vitu vyake jukwaani kujaribu kumpiku Bi Kikdude kwa sauti.Babu Ayubu na Bi Kidude wakipozi katika picha, ilikuwa Travetine.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages