skip to main |
skip to sidebar
MAN UNITED YANYUKWA 2-1 NA CHELSEA
MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Chelsea, Didier Drogba (kushoto) akipiga shuti kufunga goli la pili, huku mlinzi wa Manchester United, Nemanja Vidic akihangaika bila mafanikio kumzuia, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza, kwenye uwanja wa Old Trafford, mjini Manchester, leo. Man imechapwa mabao. 2-1
ยช
0 Comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269