Breaking News

Your Ad Spot

May 28, 2010

SEAMIC MEETING

Mwenyekiti wa SEAMIC, Waziri wa Madini na Nishati, William Ngeleja akizungumza wakati wa mkuatno huo, uliofanyika leo katika ukumbi wa kituo hicho, Kunduchi, Dar es Salaam 
Badhi ya wajumbe wakiwa kwenye mkutano huoBaadhi ya waandishi wa habari aakiwemo Mzee wa Chachandu-Daily (kushoto) wakiwa kwenye mkutano huo.Baadhi ya wajumbe wakiwa katika mkutano huoWaandishi wa habari wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi baada ya ufunguzi wa mkutano huo, ksuhoto ni mtangazaji wa ITV Fatma Nyangasa na mwenzake ni raia wa Finland ambaye anafanya mazoezi kituo cha TBC1

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages