Breaking News

Your Ad Spot

Jul 8, 2010

KIZOTA SASA KWAIVA

KATIBU Mkuu wa CCM, Yussuf Makamba (kushoto)m akimwelekez kitu Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Uchumi na Fedha, Amos Makalla, walipokagua ukumbi wa Kizota, mjini Dodoma utakaotumika kwa mkutano mkuu wa CCM, leo

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, akiakagua ukumbi wa Kizota mjini Dodoma, jana Kulia ni Makamba na wapili kushoto ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Abduklrahman Kinana.

MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM, Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kushoto), akisalimiana na Katibu wa wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Uchumi na Fedha, Amos Makalla, alipowasili ukumbi wa Kizota, jana. Wa pili kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Yussuf Makamba na watatu kushoto ni Katibu wa NEC ya CCM, Oganaizesheni, Kidawa Hamid
VIJANA wa CCM wakibandika picha za Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, kwenye uzio kuzunguka ukumbi wa Kizota,leo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages