Breaking News

Your Ad Spot

Jul 27, 2010

MAMA JK NDANI YA KAMPALA

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete  akizungumza na mke wa Waziri Mkuu wa Ethiopia Mama Azeb Meefin Zenawi wakati  nwa kikao cha wake wa marais na wakuu wa nchi za Afrika kinachofanyika sambamba na kikao cha marais na wakuu wa nchi za Afrika huko Speke hotel, eneo la26.7.2010 Munyonyo, Kampala nchini Uganda tarehe 26.7.2010.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akichangia akichangia wakati wa kikao cha wake wa marais na wakuu wa nchi za Afrika kinachofanyika Kampala nchi Uganda.
Mama Salma Kikwete akifuatana na mke wa Rais wa Sierra Leone Mama Sia Nyama Koroma (katikati),na Kulia ni Mama Azeb Zenawi, mke wa Waziri Mkuu wa Ethiopia wakitoka nje kwa mapumziko mafupi tarehe 26.7.2010.PICHA ZOTE NA JOHN LUKUWI

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages