Breaking News

Your Ad Spot

Jul 14, 2010

MHADHIRI MWANDAMIZI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM KITIVO CHA SHERIA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI DAR

MESSAGE OF CONDOLENCE
Late Prof. Jwani Mwaikusa

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandara (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kwa majozi kuhusu msiba huo  Nyumbani kwa marehemu Profesa Mwaikusa, Salasala, Dar es Salaam. Mbele ni gari alimopigiwa risasi na  wauaji, mara alipowasili nyumbani hapo saa nne usiku, jana. Polisi wakifanya uchunguzi eneo la tukio, nyumbani kwa marehemu leo Kiatu cha marehemu, Profesa Mwaikusa kilichobaki eneo la tukio baada ya kuuawa. Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu leo asubuhi. POLISI wa mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni wakipata maelezo nyumbani kwa mfanyabiashara aliyeuawa wakati akienda kutoa msaada nyumbani kwa Profesa Mwaikusa.


The Vice Chancellor Professor Rwekaza Mukandala expresses shock and deep grief at the sudden and untimely death of Prof. Jwani Mwaikusa of the University of Dar es Salaam School of Law (formerly Faculty of Law), which occurred reportedly after he had been assaulted by an armed gang at his residence in SalaSala, late on July 14th, 2010. He is survived by his widow and their four children.
   On behalf of the Management, the Vice Chancellor sends solemn condolences to the spouse of the late Prof. Mwaikusa, his entire family and friends, the Dean of the University of Dar es Salaam School of Law, colleagues and the University of Dar es Salaam family in its entirety. Prof. Mukandala prays for strength and calm at this moment of deep grief.
     Prof. Jwani Mwaikusa joined the University of Dar es Salaam in July, 1986 as Assistant Lecturer in the then Faculty of Law. Before that date he had been a State Attorney and Assistant Lecturer at the IDM, Mzumbe. In subsequent years and decades the late Mwaikusa rose through the ranks, and was in July 1999 promoted to the status of Associate Professor of Law.
     His distinguished services at the University of Dar es Salaam include Headship of the Department of Constitutional and Administrative Law (three different triennia including the current one), membership of the University of Dar es Salaam Legal Aid Committee (1988-1992), and Chairmanship of the same committee (1992). He has also been the Lead Counsel for the Defence, UN-International Criminal Tribunal for Rwanda (2007 to-date) and Chairman of the Centre for Media Studies, Research and Networking (2002 to-date). The late Prof. Mwaikusa has published numerous articles and book chapters on a wide range of subjects. He has also been a good poet.

MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL PEACE

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages