Breaking News

Your Ad Spot

Jul 31, 2010

MTEMVU AMALIZA UBUNGE KWA KUZINDUA MRADI WA MAJI JIMBONI KWAKE LEO

Mbunge wa zamani wa Temeke, Abass Mtemvu akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa Mtoni Relini, Hadija Mohamed, alipozindua kizima cha maji katika eneo hilo jana. Kisima hicho kimejengwa kwa mchango wa juhudi zake kwa gharama y ash. Milioni 19. (Na Mpigapicha wetu

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages