Rais Mstaafu wa Zambia Dkt Kenneth Kaunda akisisitiza umuhimu wa upendo , amani , mshikamano na kumtanguliza Mungu kwa kila jambo ili kuhakikisha maendeleo ya kweli. Dkt Kaunda alitoa kauli hiyo jana wakati wa Mkutano baina ya waandishi wa habari na Marais wastaafu wa Afrika waliokuwa waemekutana mjini Dar es salaam kujadiliana juu ya maboresho ya sekta za ardhi.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269