Breaking News

Your Ad Spot

Aug 23, 2010

KUMBUKUMBU

Familia ya Halima S. Kaubanika ya Ilala Dar es salaam, wanakumbuka kifo cha baba yao Mzazi Mzee Suleiman M. Kaubanika kilichotokea  24/8/2009 Kigogo Dar es salaam.
Sasa ni mwaka mmoja tangu ututoke wake zako, watoto,marafiki zako na majirani wanakukumbuka sana hasa kwa ucheshi na mawazo uliokuwanayo mungu allaze roho ya marehemu mahala pema peponi Amina

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages