Breaking News

Your Ad Spot

Aug 27, 2010

PULSEN ATEMA WAKONGWE WATANO STARS SAFARI YA ALGERIA

WACHEZAJI wakongwe watano na wawili wa timu ya taifa, Taifa Stars wameachwa na kocha Jan Paulsen katika kikosi kitakachokwenda Algeria katika mechi iliyopangwa kuchezwa septemba 3, mwaka huu nchini humo.

Walioachwa ni Kipa Juma Kaseja, Athumani Iddi na athumani Iddi kutokana na kuwa wagonjwa wakati wachezaji wengine akiwaachwa kocha huyo kwa kudaiwa kushuka viwango ambao nii Abdurahim Humudi, Kelvin Yondan, Juma Jabu, Uhuru Selemani na Jerrison Tegete.Kikosi cha Stars kitakachoondoka Agosti 31,mwaka huu kwenda Algeria kitakuwa na wachezaji 20.
KOCHA Pulsen timu yake ktakachokwenda Algeria.leo kwenye Ofusi za shirikisho la soka nchini (TFF). Kushoto ni Meneja wa timubya taifa Leopord Tasso.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages