Breaking News

Your Ad Spot

Sep 27, 2010

BODI YA USHAURI GPSA YAZINDULIWA LEO

WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mukulo,  Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Josephat Mwambega na Mwenyekiti wa Bodi hiyo,  Ahmad Kilima wakiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya ushauri ya GPSA (waliosimama) baada ya Mkulo kuzindua bodi hiyo leo mjini Dar es Salaam. Wajumbe hao ni Mzee Boma, Eng. Mary Swai, sebastian Ndandala na Dk. Frederick Mwakibinga. Mwingine katika bodi hiyo ni Balozi Charles Mtalemwa ambaye hakuwepo katika uzinduzi huo.(Picha na Chachandu Daily Blog).

1 comment:

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages