Mwenyekiti wa CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao kikao hicho cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma leo mchana.Kutoka kushoto ni wajumbe wa kamati hiyo Rais Mstaafu awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu SMZ Amani Abeid Karume, Katibu Mkuu CCM Yusuf Makamba, Makamu wa CCM Bara, Pius Msekwa na Rais wa Zanzibar Dr.Ali Mohamed Shein.(Picha ana Freddy Maro).
Spika aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta akisalimiana na Mbunge Mteule wa Bariadi Magharibi Andrew Chenge , kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo, ambapo wote ni wajumbe wa kikao hicho.

Mwenyekiti wa CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao kikao hicho cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma leo mchana.Kutoka kushoto ni wajumbe wa kamati hiyo Rais Mstaafu awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu SMZ Amani Abeid Karume, Katibu Mkuu CCM Yusuf Makamba, Makamu wa CCM Bara, Pius Msekwa na Rais wa Zanzibar Dr.Ali Mohamed Shein.(Picha ana Freddy Maro).
Mwenyekiti wa CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao kikao hicho cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma leo mchana.Kutoka kushoto ni wajumbe wa kamati hiyo Rais Mstaafu awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu SMZ Amani Abeid Karume, Katibu Mkuu CCM Yusuf Makamba, Makamu wa CCM Bara, Pius Msekwa na Rais wa Zanzibar Dr.Ali Mohamed Shein.(Picha ana Freddy Maro).
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269