Breaking News

Your Ad Spot

Dec 27, 2010

JK AMWAPISHA JAJI MKUU CHANDE

Rais Jakaya Kikwete akimwapisha Jaji Mohammed Othman Chande kuwa  Jaji Mkuu, leo, Ikulu mjini Dar es Salam. katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo na kulia ni Jaji Mkuu aliyestaafu leo,  Augustine Ramadhani. 
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na jaji mkuu mpya, jaji mstaafu na Majaji wakuu wa Mahakama Kuu katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages