Breaking News

Your Ad Spot

Dec 23, 2010

NAIBU WA MAJI AKAGUA MIUNDOMBINU YA MAJI MTONI, TMK

NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Injinia Gerson Lwinge(kushoto) akipatiwa maelezo kutoka kwa Meneja mtambo wa maji wa Mamlaka ya Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco),  Masoud Omari, kuhusu hali ya uzalaishaji maji katika mtambo wa maji wa Mtoni, alipotembelea mtamo huo, LEO

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages