Breaking News

Your Ad Spot

Dec 19, 2010

NDEGE YAPATA AJALI MBEYA

.





PIX-3.





(Picha zote na Solomon Mwansele).








Watu wakitazama ndege ya  CESSNA, 5H-PCN- U206 F, baada ya kuanguka leo  katika shamba la Taasisi ya Kilimo Uyole,  mjini Mbeya. Katika ndege hiyo  Iliyokuwa inamsafirisha mgonjwa kutoka Mbeya kwenda hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa matibabu zaidi, daktari wa hospitali ya Rufani Mbeya, Jones Chitemo, aliyekuwemo amevunjika mkono . 
Ndege hiyo kwa mbele

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages