Breaking News

Your Ad Spot

Dec 14, 2010

SEMINA YA TEITI YAFANYIKA DAR

BAADHI wa washiriki wakiwa katika semina ya Mpango wa Uhamasishaji wa Uwazi na Uwajibikaji katika Tasnia ya Uziduaji Nchini (TEITI), iliyofanyika leo katika ukumbi wa City Paradise Hotel, mjini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages