Breaking News

Your Ad Spot

Jan 14, 2011

ABS LANUSURIKA KUPINDUKA

ABIRIA waliokuwa katika basi hili la kampuni ya ABS iliyokuwa ikisafiri kutoka Iringa kwenda Dar es Salaam, wakiwa nje ya basi hulo baada ya kuacha barabara katika harakati za kujinusuru kugongana na lori moja, jana, eneo la Misugusugu, Barabara ya Morogoro, Kibaha mkoa wa Pwani. (Picha kwa hisani ya Diwani wa Kibaha, Mheshimiwa, Selina Wilson).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages