ABIRIA waliokuwa katika basi hili la kampuni ya ABS iliyokuwa ikisafiri kutoka Iringa kwenda Dar es Salaam, wakiwa nje ya basi hulo baada ya kuacha barabara katika harakati za kujinusuru kugongana na lori moja, jana, eneo la Misugusugu, Barabara ya Morogoro, Kibaha mkoa wa Pwani. (Picha kwa hisani ya Diwani wa Kibaha, Mheshimiwa, Selina Wilson).
Your Ad Spot
Jan 14, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269