Breaking News

Your Ad Spot

Jan 26, 2011

AZAM MOTO; YAIKUNJA 5-1 ARUSHA FC

BEKI wa Arusha FC, Daudi Magige (kushoto), akipambana na mshambuliaji wa Azam FC, Salum Aboubakar, timu hizo zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam, katika mechi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Azam FC iliinyuka Arusha FC 5-1.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages