BEKI wa Arusha FC, Daudi Magige (kushoto), akipambana na mshambuliaji wa Azam FC, Salum Aboubakar, timu hizo zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam, katika mechi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Azam FC iliinyuka Arusha FC 5-1.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269