MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Jamal Mnyate, akimtoka beki wa Simba, Meshack Abel, timu hizo zilipomenyana leo kwenye Uwanja, Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam, katika mechi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom. Simba imelala kwa mabao 3-1.
Your Ad Spot
Jan 23, 2011
Home
Unlabelled
SIMBA YALA MWELEKA KWA AZAM FC
SIMBA YALA MWELEKA KWA AZAM FC
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Mpira ni dakika tisini uwanjani au sio, mengine maneno ya nje hayasaidiii
ReplyDelete