Breaking News

Your Ad Spot

Feb 8, 2011

MTANGAZAJI WA UHURU FM AKIMHOJI MEYA WA ILALA, SILAA

Mtangazaji wa Uhuru FM, Mariam Mziwanda  akimhoji Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa, kuhusu hatua ya Wakala wa Barabara, TANROADS kutaka kuondoa mabango ya matangazo kwenye hifadhi za barabara katka manispaa hiyo. 
Mariam akiwa nje wakati akisubiri kuingia Ofisini kwa Meya kumhoji kuhusu sakata hilo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages