Breaking News

Your Ad Spot

Feb 9, 2011

STARS YAAMBULIA BAO 1-0 KWA WAPALESTINA

Mshambuliaji wa Stars, Ngassa akimtoka beki wa Palestina, katika amechi ya kirafki ya Kimataifa, iliyopigwa leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar

Mgosi wa Stars akitafuta jinsi ya kumkabili beki wa Palest ine

1 comment:

  1. Yaani...hawa wenzetu muda mwingi wapo vitani, na mpira wanaucheza kwa mashaka, bado tumeshindwa kuwafunga mabao mengi!
    Hata hivyo twawapa hongera kwani ushindi ni ushindi tu, hata bao moja ni ushindi!

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages