Breaking News

Your Ad Spot

Mar 29, 2011

MBUNGE WA MCHINGA ASAINI KITABU MAAFA YA TSUNAMI JAPAN

MBUNGE wa Mchinga, Saidi Mtanda akitia saini kitabu cha maombolezo ya maafa ya tetemeko la Tsunami yaliyotokea Japan, mapema mwezi huu,leo kwenye Ubalozi wa nchi hiyo mjini Dar es Salaam, Kushoto ni, Balozi Mdogo wa Japan, Shuichiro Kawaguchi. 
Mheshimiwa Mtanda akimpa pole balozi huyo mdogo, baada ya kusaini kitabu. Kushoto ni Katibu Msaidizi wa Ubalozi huo, Shigeru Nemoto 
Mheshimiwa Mtanda akiagana na Balozi huyo 
Mteshimiwa Mtanda akizungumza neno la mwisho, na Ofisa Mipango katika ubalozi huo Tatsujiro Suzuka. Kushoto ni Balozi mdogo na katikati ni Nemoto..

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages