Breaking News

Your Ad Spot

Mar 25, 2011

NMB YAIPA VIFAA STARS

Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawsiliano wa Benki ya NMB, Imani Kajula, akikabidhi vifaa vya michezo kwa Mkurugenzi wa ufundi wa TFF, Sunday Kayuni kwa ajili ya Timu ya Taifa Taifa Stars leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa TFF,  Angetile Osseah

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages