Breaking News

Your Ad Spot

Jul 21, 2011

BREEKING NYUUUUUUUUZZZZZ

SAKATA LA BARUA: JAIRO ASIMAMISHWA KAZI


Katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo
akizungumza na waandishi wa habari leo
mjini Dodoma.

Taarifa zilizopatikana kutoka mjini Dodoma zimesema, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo amesimamishwa kazi kuanzia leo. Hatua hiyo imetangazwa leo mjini Dodoma na Katibu Mkuu Kiongozi  Philemon Luhanjo katika mkutano na Waandishi wa habari. Jairo aliingia matatani baada ya kudaiwa kuandika barua ya kuchangisha sh. milioni 50 kila taasisi zilizopo chini ya wizara ya Nishati  na Madini.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages