Breaking News

Your Ad Spot

Jul 22, 2011

LILIAN TIMBUKA KATIBU MPYA SHINA LA CCM UPL

Msanifu wa kurasa wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd,
Wachapishaji wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani,
Lilian Timbuka  amechaguliwa kuwa Katibu  wa CCM 
 shina la kampuni hiyo katika uchaguzi uliofanyika asubuhi
hii katika mkutano wa Chama. Nafasi hiyo ilibaki wazi
kutokana na  aliyekuwa akishika nafasi hiyo kuondoka.
Mwenyekiti wa sasa ni Yassin Kayobo.

1 comment:

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages