Breaking News

Your Ad Spot

Sep 28, 2011

HELKOPTA YA KAMPENI ZA CCM YATUA IGUNGA, MAGUFULI, JANUARI WATIA TIMU

Helkopta ikitua katika Uwanja wa Sabasaba mjini Igunga leo 
Januari Makamba akilakiwa na Kiongozi wa kampeni za CCM Igunga, Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba. Kushoto ni Katibu Msaidi Mkuu Itikadi na Uenezi Sixtus Makamba 
Kisha Januari akakumbatiana na Mwigulu 
Januari akisalimia mamia ya wananchi kwenye Uwanjahuo wa Saba saba 
Magufuli akiwavulia kofia wananchi kuwasalimia kwenye uwanja huo  
Dk. Magufuli akijadiliana jambo na Dk. Dalaly m
agufulimD
Dk. Magufuli akimnadi Dk. Dalaly kwenye Uwanja huo wa Saba saba 
Dk. Magufuli akiwa kwenye jukwaa na viongozi wa kampeni za CCM 
Mamia ya watu wakishangilia kwneye viwanja vya Sabasaba mjini Igunga 
Ikawa ni raha tupuuuuuuuu 
Dk Magufuli akimuombea tena kura mgombea wa CCM. Kulia ni Katibu wa NEC Oganaizesheni Asha Abdallah Juma

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages