Breaking News

Your Ad Spot

Sep 28, 2011

MWILI WA POLISI ALIYEUAWA KIKATILI MBEYA WAAGWA

KAIMU Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Evans Balama, akizungumza leo wakati wa kuuga mwili wa askari polisi G.2795 PC Meshack Urrasa, aliyeuawa kwa kupigwa nondo na watu wasiofahamika eneo la Mabatini mjini Mbeya.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages