Breaking News

Your Ad Spot

Oct 17, 2011

WAZIRI NYALANDU ATEMBELEA KIWANDA CHA BAKHRESA KUONA UZALISHAJI CHAKULA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Lazaro Nyalandu akizungumza alipotembela kiwanda cha nafaka cha Buguruni Flour Mills, cha Kampuni ya Said Salim Bakhresa & Co Ltd, leo. Kulia ni Meneja Mkuu Msaidizi Saidi Salim Bakhresa & Co Ltd hussein Ally
Nyaladu akionyeshwa moja ya hatua za uzalishaji unga wa ngano katika kiwanda hicho leo. Anayemuonyesha ni Msimamizi wa uzalishaji  wa Kiwanda hicho, Patrick Muriuki.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages