Breaking News

Your Ad Spot

Nov 25, 2011

WATANZANIA WAWILI KUCHEZA LIGI DARAJA LA PILI SWEDEN

Wapiga gozi wawili wa Kitanzania, Joseph Kaniki (Golota) naWilliam John wamefanikiwa kujiunga na timu ya ligi daraja la pili KonyaSpor (KIF) nchini Sweden, baada ya kufanikiwa kupita katika majaribio (Trials).
       Majaribio hayo yalijumuisha wachezaji zaidi ya 30 ambapo watano walichaguliwa kujiunga na klabu hiyo ya ligi daraja la pili KonyaSpor(KIF)
 William John
Joseph Kaniki (Golota ) Habari hii imeletwa kwenu na:http://www.africa4life.com/

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages