Breaking News

Your Ad Spot

Dec 24, 2011

DK. SHEIN AMTUNUKU SHAHADA DK. KARUME

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA Dk Ali Mohamed  Shein,akimtunuku shahada ya uzamivu  ya  heshima ya chuo kikuu cha Taifa SUZA Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume,wakati wa sherehe za mahafali ya saba  ya chuo hicho katika viwanja vya Mnazi mmoja Mjini Unguja leo. (Picha na Ramadhan Othman IKULU).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages