Breaking News

Your Ad Spot

Dec 5, 2011

KATIBU MKUU WA CCM ZIARANI UJETUMANI

Katibu Mkuu wa CCM,  Wilson Mukama akiwa katika mazungumzo rasmi na Karin Roth, Mbunge anaewakilisha Chama cha SPD na Katibu wa Mambo ya Nje wa SPD Belin, Ujerumani,jana. Katibu Mkuu yupo nchini ujerumani kwa ziara ya kikazi.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages