Breaking News

Your Ad Spot

Dec 28, 2011

KHADIJA MUSAA WA UHURU ANG'ARA SHINDANO LA AAJAT

Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dk. Fatma Mrisho (kushoto) akitao zawadi na cheti kwa Mwandishi wa Habari wa Uhuru Publications Ltd, Wachapishaji wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, Hadija Mussa kwa kushinda kutokana na  kuandika makala za Ukimwi katika shindano lililoandaliwa na  Chama Cha Waandishi wa Habari za Ukiwmi Tanzania ( AJAAT), hafla ya uroaji zawadi  kwa washindi ilifanyika mwishoni mwa wiki mjini Dar es Salaam.. (Picha na Tiganya Vincent, MAELEZO)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages