Breaking News

Your Ad Spot

Feb 29, 2012

SIMBA KUZINDUA TELEVISHENI YAKE

Ezekiel Kamwaga akionyesha kadi ya kiingilio kwenye hafla hiyo
Klabu kongwe ya soka Tanzania, Simba Sports Club, imetangaza kuzindua Tv yake itakayokwenda kwa jina Simba TV.
 
Akitangaza leo kwenye makao makuu ya Klabu hiyo, mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam, Ofisa Habari wa 'Mnyama' huyo Ezekiel Kamwaga amesema uzinduzi wa Luninga hiyo unatarajiwa kufanyika Ijumaa ya wiki hii katika hoteli ya JB Belmont katika jengo la Benjamin Mkapa katikati ya jiji la Dar es Salaam.
 
Kamwaga amesema, Simba Tv itakuwa ikirushwa kupitia kituo cha Clouds Tv na kwamba wakati wa uzinduzi kutakuwa na burudani mbalimbali hukuzikionyeshwa documentary maalum inayohusu klabu hiyo.
 
"Hafla hii itakuwa ni kwa waalikwa huku wengine watakaopenda kuhudhuria watapaswa kulipa shilingi 70,000.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages