Breaking News

Your Ad Spot

Mar 31, 2012

MKAPA KATIKA KAMPENI ZA CCM ARUMERU, KUFUNGA KAMPENI LEO

 Rais na Mwwnyekiti Mstaafu wa CCM, Benjamin Mkapa akiwasili kwenye viwanja vya Patandi, kuhutubia  mkutano wa kampeni za CCM, jana. Leo atapanda jukwaani kufunga kampeni za CCM. Kulia ni Mama Anna Mkapa.
 Mkapa akisalimia wananchi baada ya kuwasili
 Aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Stephen Wasira baada ya kuwaili kwenye mkutano huo. Katikati ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Asha Abdallah Juma.
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akisalimia wananchi kwenye mkutano huo
 Katibu wa NEC, Mahuaisiano ya Kimataifa, Januari Makamba akisalimia wananchi kwenye mkutano huo.
 Wananchi wakimshangilia Mkapa 
 Wabunge wanane wa CCM wanaosaidia katika kampeni za CCM jimbo la Arumeru Mashariki, wakisalimia wananchi kwenye mkutano huo.
 Mkapa akienda kupanda jukwaani

 Mkapa akihutubia jukwaani
 Umati wa watu ukimsikiliza Mkapa
 Mkurugenzi Msaidizi Mkuu wa Uchaguzi CCM, Matson Chizi akimpeleka jukwaani, mgombea wa CCM Sioi Sumari
 Mkapa akimnadi Sioi
 Vijana wakiwa wametulia katika Defender la Polisi baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kujaribu kufanya fujo kwenye mkutano huo
Baadhi ya watu wakisoma nakala za toleo maalum la uchaguzi Arumeru Mashariki la Uhuru, kwenye mkutano huo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages