Meneja wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akizungumza katika semina ya waandishi wa habari za michezo kuitambulisha kampeni mpya ya '100% Tz Flava' inayoendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, leo kwenye hoteli ya New Africa, jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269