Breaking News

Your Ad Spot

May 8, 2012

RAIS ATEUA MSAIDZI WAKE - HUDUMA ZA JAMII


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
              press@ikulu.go.tz             

Fax: 255-22-2113425



PRESIDENT’S OFFICE,
      THE STATE HOUSE,
              P.O. BOX 9120,  
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua BIBI MWANAHAMISI OMARI KITOGO kuwa MSAIDIZI WA RAIS, HUDUMA ZA JAMII.
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) Balozi Ombeni Y. Sefue leo, Jumanne, Mei 8, 2012, mjini Dar es Salaam inasema kuwa uteuzi huo umeanza Mei Mosi, mwaka huu, 2012.
Kabla ya uteuzi wake, Bibi Mwanahamisi Omari Kitogo alikuwa Mkadiriaji Ujenzi Msaidizi (Assistant Quantity Surveyor) katika Kampuni ya COWI, Tanzania.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
8 Mei, 2012

1 comment:

  1. Высокопрофессиональный уровень подготовки сотрудников нашей ассоциации, обучение в высококлассном учебном заведении области и постоянное увеличени квалификации дают право сообщать о мастерстве наших юристов и адвокатов и компании в целом. На всякий вопрос потребителя каждый раз будет найден ответ, всякий спор разобран, а обращение в суд отражено. Перечень услуг, разрешаемых нашими юристами велик: включая регистрации компаний и завершая разрешением жилищьных проблем. На все работы имеются разрешения и сопутствующие аттестаты.
    Юридическая компания НУР это [url=http://nur63.ru]помощь юридическим лицам [/url]

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages