Breaking News

Your Ad Spot

May 28, 2012

SEMINA YA WAPIGAPICHA ZA HABARI WAANDAMIZI YAFANYIKA LEO

 Mkurugenzi wa Mfuko wa Vyombo vya Habari-Tanzania Media Fund (TMF) , Ernest Sungura akifunghiua semina ya wapigapicha za habari waandamizi, leo kwenye ukumbi za Msimbazi Centre, Dar es Salaam. Kushoto ni mratibu wa semina hiyo Selemani Mpochi na watatu kushoto ni OfisaMawasiliano wa Airtel Dagio Kaniki.
Wapigapicha wakiwa kwenye semina hiyo
Mkufunzi kutoka Frem Tree, Mwanzo Milinga akitoa mafunzo kuhusiana na kazi ya kupiga picha za habari, wakati wa semina hiyo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages