Mkurugenzi wa Mfuko wa Vyombo vya Habari-Tanzania Media Fund (TMF) , Ernest Sungura akifunghiua semina ya wapigapicha za habari waandamizi, leo kwenye ukumbi za Msimbazi Centre, Dar es Salaam. Kushoto ni mratibu wa semina hiyo Selemani Mpochi na watatu kushoto ni OfisaMawasiliano wa Airtel Dagio Kaniki.
Wapigapicha wakiwa kwenye semina hiyo
Mkufunzi kutoka Frem Tree, Mwanzo Milinga akitoa mafunzo kuhusiana na kazi ya kupiga picha za habari, wakati wa semina hiyo
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot



No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269