Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohd Aboud Mohd akifafanua jambo alipozungumza na Maaskofu mbalimbali kufuatia kwa matatizo yaliotokezea Zanzibar ya kuchomwa Moto kwa Makanisa mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
-Askofu Mkuu wa Anglican Tanzania Dk Valontine Mukiwa wakwanza kulia akizungumzia kuhusiana na matatizo yaliotokezea Zanzibar ya kuchomwa Moto kwa Makanisa mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar walipokutana Maaskofu mbalimbali na Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohd Aboud Mohd.
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud Mohd kushoto akisalimiana na Askofu Mkuu wa Anglican Tanzania Dk Valontine Mokiwa baada ya kumaliza kwa mazungumzo yao pamoja na Maaskofu mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Askofu Mkuu wa Anglican Tanzania Dk Valontine Mukiwa akifanya mahojiano na Muandishi wa BBC kuhusiana na matatizo yaliotokezea Zanzibar ya kuchomwa Moto kwa Makanisa mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI MAELEZO ZANZIBAR
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269