Katibu wa Halmashauri Kuu ta Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza na viongozi wa CCM mkoa wa Singida baada ya kuwasili leo kwa ziara ya siku moja
Katibu Tawala wa mkoa wa Singida, Liana Hassan (wapili kulia) akimuonyesha Nape (wapili kushiti), ramani ya jengo la utawala la hospitali ya rufani ya Singida ambayo ujenzi unaendelea. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida, Jerome Alute
Nape na ujumbe wake wakikagua ujenzi wa hospitali hiyo
Naape akionyeshwa na maofisa ujenzi, sehemu mbalimbali ndani ya majengo ya hospitali hiyo.
Nape akimsiliza Liana Hassani (kushoto) aliyekuwa akimpa maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi wa hospitali hiyo
Nape na ujumbe wake wakikagua zaidi jengo la hospitali hiyo. ikikamilika itakuwa na jumla ya majengo 37.
Your Ad Spot
Jun 1, 2012
Home
Unlabelled
NAPE AKAGUA MAENDELEO UJENZI WA HOSPITALI YA RUFANI SINGIDA
NAPE AKAGUA MAENDELEO UJENZI WA HOSPITALI YA RUFANI SINGIDA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269