Saamweli Sitta
Alhaji Adam Kimbisa
Angela Charles Kizigha
Bernard Musomi Muruyana
Abdullah Ali Hassan Mwinyi
Nderkindo Kessy
Makongoro Nyerere
Twaha Issa Taslima
Shy Rose Bhamji
HABARI AKWA UFUPI
Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) wameapishwa rasmi kushika madaraka hayo huku Tanzania ikiwa na Wawakilishi tisa katika Bunge hulo.
Wabunge hao waliapa baada ya kupatikana Spika wa mpya wa Bunge hilo ambapo safari hii ikiwa ni Uganda kushika Uongozi huo wa Juu wa Bunge na Mwana Uchumi, Margareth Ziwa kuchukua nafasi hiyo.
Wabunge wote wa Tanzania katika Bunge la Jumuiya ya Mashariki waliokula kiapo hii leo ni pamoja na Mwenyekiti wa Wabunge wa Tanzania kwenye Bunge EALA, Alhaj Adam Omar Kimbisa na Katibu wake, Mh Shy-Rose SaddrudinBhanji.
Wengine ni Mhe. Anjela Charless Kizigha, Mh. Maryam Ussi Yahya,Mh.Nderkindo Perpetua Kessy, Dkt Twaha Issa Taslima, Mhe. Abdullah Ali Hassan Mwinyi, Mhe Bernard Musomi Murunyana Mhe. Charles Makongoro Nyerere na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta anaeingia kwa wadhifa wake wa Uwaziri.
Wabunge hao wameapisha pamoja na wabunge wenzao wa Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi (source- Father Kidevu Blog)
Your Ad Spot
Jun 6, 2012
Home
Unlabelled
WABUNGE BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI WAAPISHWA
WABUNGE BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI WAAPISHWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269