Breaking News

Your Ad Spot

Jul 31, 2012

AJALI YA KUZAMA MELI ZANZIBAR: GRANDMALT NA ZIF WATOA POLE

Meneja masoko wa Kinywaji cha Grandmalt Fimbo Buttalah Kulia akimkabidhi makamu wa pili wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Balozi Seif Ally Iddy Fedha Shilingi milioni tano kama sehemu ya Rambirambi zilizotolewa kwa pamoja kati ya Grandmalt ambao ni wadhamini wa Ligi kuu ya Zanzibar na Chama cha Soko Zanzibar ZFA. Kushoto ni Makau wa rais wa Zfa Kassum Suleman. 
FULL STORY  INGIA TANZANIA VISION BLOG

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages