Breaking News

Your Ad Spot

Jul 26, 2012

FAINALI KAGAME CUP NI YANGA NA AZAM

Mabingwa watetezi wa Kombe la Kagame, Yanga ya Dar es Salaam, wametinga fainali baada ya kuibugiza APR ya Rwanda bao 1-0, kwa timu hizo kumenyana kwa dakika 120,  baada ya muda wa kawaida wa dakika 90 kumalizika zikiwa nguvu sawa ya bila kufungana. Kufuatia ushindi huo, sasa Yanaga inaingia katika fainali ya timu yenzake ya Tanzania, Azam FC ambayo imetinga pia fainali leo baada ya kuifunga As Vita 2-1

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages