Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye atakafanya mkutano saa 5 ASUBUHI, katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, Wakati Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Martine Shigella tafanya saa 4 asubuhi, makao makuu ya UVCCM, Dar es Salaam. Taarifa zilizopo ni kwamba viongozi hawa watazungumzia mambo tofauti.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269