![]() |
Mbunge wa Sasa wa Jimbo la Igunga, Dk. Dalally Peter Kafumu akifurahi baada ya kushinda katika uchaguzi mdogo uliofanyika Septemba mwaka jana katika jimbo hilo, kufuatia kiti kubaki wazi baada ya aliyekuwa mbunge wake, Rostam Aziz kujiuzulu kutokana na kashfa za ufisadi. Aliyemfuatia kwa karibu katika ushindi alikuwa mgombea wa Chadema Joseph Kashindye, chama ambacho ndicho kilienda mahakamani kupinga matokeo. |
HUKUMU KESI YA UBUNGE IGUNGA LEO
Aug 21, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269