Mbunge wa Sasa wa Jimbo la Igunga, Dk. Dalally Peter Kafumu akifurahi baada ya kushinda katika uchaguzi mdogo uliofanyika Septemba mwaka jana katika jimbo hilo, kufuatia kiti kubaki wazi baada ya aliyekuwa mbunge wake, Rostam Aziz kujiuzulu kutokana na kashfa za ufisadi. Aliyemfuatia kwa karibu katika ushindi alikuwa mgombea wa Chadema Joseph Kashindye, chama ambacho ndicho kilienda mahakamani kupinga matokeo. |
Your Ad Spot
Aug 21, 2012
Home
Unlabelled
HUKUMU KESI YA UBUNGE IGUNGA LEO
HUKUMU KESI YA UBUNGE IGUNGA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269