Breaking News

Your Ad Spot

Aug 19, 2012

MAMIA YA WAANDISHI WAUAGA MWILI WA MBOGORA


Mamia ya Waandishi wa habari wamejitokeza kwa wingi kumuaga mwandishi mwenzao Alfred Mbogora aliyefariki jana katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua ghafla, mwili wa marehemu umesafirishwa leo kwenda Musoma.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages