Breaking News

Your Ad Spot

Aug 31, 2012

MFUMO WA MAWAKALA WA BENKI KUU KUNUNUA DHAMA NA HATI FUNGANI KWA ONLINE WAZINDULIWA

 GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu akiongea na waandishi wa habari jana  (leo) jijini Dar es salaam kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mfumo wa mawakala wa Benki hiyo wa kununua dhamana za Serikali na hati fungani kwa njia ya mtandano(online) kwenye mnada na hivyo kupunguza ule utaratibu wa dhamana wa kupeleka karatasi katika Benki ili kupata huduma hiyo, (kulia) ni Naibu Gavana wa BoT, Dk Natu Mwamba.

GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu akizungumza jijini Dar es salaam, katika uzinduzi rasmi wa mfumo wa mawakala wa Benki hiyo wa kununua dhamana na hati fungani kwa njia ya mtandano(online) kwenye mnada na hivyo kupunguza ule utaratibu wa dhamana wa kupeleka karatasi katika Benki ili kupata huduma hiyo. PICHA NA TIGANYA VINCENT- MAELEZO-DAR ES SALAAM

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages