Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam na kuzungumzia maswala mbalimbali lakini kubwa zaidi kukanusha Madai ya Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Wilbrod Slaa kwamba CCM imekuwa ikiingiza silaha nchini. Habari zaidi BOFYA HAPA KWENYE UK. WA SIASA
Your Ad Spot
Aug 21, 2012
Home
Unlabelled
NAPE JINO KWA JINO NA DK. SLAA, AKANUSHA CCM KUINGIZA SILAHA NCHINI
NAPE JINO KWA JINO NA DK. SLAA, AKANUSHA CCM KUINGIZA SILAHA NCHINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269