Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo wakati shughuli ya mazishi ya Rais John Evans Atta Mills wa Ghana katika ukumbi wa Mikutano wa Ghana jijini Accra, Agosti 10, 2012.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima kwa aliyekuwa Rais wa Ghana Marehemu Profesa John Evans Atta Mills katika ukumbi wa Mikutano wa Ghana jijini Accra, Agosti 10, 2012.
Jeneza lenye mwili waaliyekuwa Rais wa Ghana Profesa John Evans Atta Mills likifikishwa na wanajeshi wa nchi hiyo katika uwanja wa Independence Square jijini Accra,, Agosti 10, 2012
Jeneza lenye mwili waaliyekuwa Rais wa Ghana Profesa John Evans Atta Mills likifikishwa na wanajeshi wa nchi hiyo katika uwanja wa Independence Square jijini Accra,, Agosti 10, 2012
Rais Kikwete akiwa na baadhi ya viongozi waliohudhuria maziko hayo
Eneo la Jukwaa Kuu kwenye Uwanja wa Independende Square wakati wa Shughuli mbalimbali za mazishi za aliyekuwa Rais wa Ghana Profesa John Evans Atta Mills. PICJA NA IKULU
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot






No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269