Breaking News

Your Ad Spot

Nov 26, 2012

JK AONGOZA HARAMBEE CHUO KIKUU CHA ST. JOHN

Mkurugenzi mkuu wa PPF Bwana William Eriyo akikabidhi hundi ya shilingi milioni kumi kama mchango wa shirika lake kwa ajili ujenzi  ya Hosteli ya wanafunzi wenye ulemavu wa viungo na wasichana katika Chuo Kikuu cha St.John kilichopo mjini Dodoma, wakati wa harambee iliyofanyika katika ukumbi wa Diamond jubilee jijini Dar ea Salaam leo.Katika Harambe hiyo jumla ya shilingi milioni 584/m zilikusanya ikiwa ni ahadi na fedha taslimu.Wapili kushoto ni Askofu mkuu wa Kanisa la Anglikana Dr.Valentino Mokiwa na kulia ni Mkuu wa chuo hicho askofu mkuu mstaafu Dr.Donald Mtetemela (Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages